Colossians 3:1-3

Kanuni Za Kuishi Maisha Matakatifu

1 aBasi, kwa kuwa mmefufuliwa pamoja na Kristo, yatafuteni yaliyo juu, Kristo alikoketi mkono wa kuume wa Mungu. 2 bYafikirini mambo yaliyo juu, wala si ya duniani. 3 cKwa maana ninyi mlikufa, nao uhai wenu sasa umefichwa pamoja na Kristo katika Mungu.
Copyright information for SwhNEN